Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

ALBERT MSANDO AJIUZULU NAFASI YAKE YA USHAURI ACT, ZITTO AMKUBALIA

                     KUSHOTO WAKILI A. MSANDO, KULIA MHE ZITTO KABWE Kwa Kiongozi Mkuu wa Chama, YAH: KUJIUZULU NAFASI YANGU YA MSHAU...
Read More

MAAFA YA MOTO YA WATU 2 NYUMBA YA MAREHEMU BILIONEA MSUYA

Watu wawili wamefariki dunia Leo hii asubuh katika nyumba ya aliekuwa marehemu bilionea Msuya baada ya moja ya chumba walichokuwa kuungua Mo...
Read More

TANZANIA YA VIWANDA ITAFELI KAMA KILIMO HAKIPEWI KIPAUMBELE, NA JEMBE LA MKONO LINATAKIWA LIWE KWA AJILI YA KUCHIMBA MAKABURI, KILIMO CHA MVUA HAKITABIRIKI

Mbunge wa Viti Maalum kupitia CUF Saumu Sakala ameitaka Serikali kuwekeza vizuri katika sekta ya Kilimo ili kutekeleza malengo ya Tanzania...
Read More

MHE KHAMIS JUMA WA SMZ AMEPIGA MARUFUKU KULA HADHARANI MWEZI MTUKUFU

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ) imetoa onyo kwa wananchi watakaokula hadharani katika kipindi cha mchana wakati wa Mwezi Mtukufu wa R...
Read More

VIDEO YA MHE MWIGULU AKIFAFANUA MAUAJI YA KIBITI "KWANINI KUKAA CCM SIYO SALAMA BALI UPANDE MWINGINE NDIO SALAMA?"

Siku kadhaaa zimepita tangu kutokee mauaji ya Mwenyekiti mstaafu wa CCM wilayani Kibiti Pwani ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa ny...
Read More