Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

NACTE/TCU KUONGOZA UHAKIKI MPYA WA VYETI VYA TAALUMA (CERTIFICATE,DIPLOPMA, DEGREE, MASTERS Etal)

Kumekukucha baada ya kumalizika uhakiki wa vyeti wa kidato cha Nne na Sita sasa unakuja uhakiki mpya wa vyeti vya taaluma kwani imeonekana watumishi wengi wa umma wamegushi vyeti vya vya taaluma ili kujipatia ongezeko la mshahara, kupanda vyeo. Aminni usiamini watumishi wengi wamegushi vyeti vya masters degree, bacheler, certificate na Diplomas.

Image result for angellah kairuki images Watumishi wengine wamesoma vyuo ambavyo havijasajiliwa na havikidhi vigezo vya TCU na NACTE.
Naona watu wengine zaidi ya 15,000 wakiangukia pua tena katika uhakiki huu mpya kwa kufukuzwa kazi.

Kama unajijua uligushi cheti cha taaluma hata kama unavyeti Orignal vya Sekondari unashauriwa kuacha kazi mara moja kabla haujaja kuaibishwa na kuzalilishwa mbele ya mkeo/mmeo, watoto na wakwe zako cha msingi acha kazi tu kazi

Serikali yetu haina machezo tumezamiria kuijenga Tanzania Mpya na hatutanii kama unacheti feki cha taaluma wewe lala mbele mapema

Ujanja ujanja kwasasa haupo tunataka vitu OG tu

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni