Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

ISIKILIZE VIDEO YA WAZIRI WA AFYA MHE UMMY MWALIMU MIKOA TISA INAYOTAKIWA KUCHUKUWA HATUA KUHUSU EBOLA

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu May 29, 2017 amekutana na Waandishi wa Habari DSM ambapo amezungumzia kuhusu ugonjwa wa EBOLA ambao umekuwa tishio katika nchi za Afrika akisema hakuna mtu aliyegundulika kuwa na ugonjwa huo hapa Tanzania.
Ili kuhakikisha ugonjwa huo hauingii nchini Waziri Ummy amesema Serikali imeanza kusambaza vifaa maalum vya kupimia ugonjwa huo sehemu zote za mipaka ya nchi na Viwanja vyote vya Ndege Tanzania akiitaja pia Mikoa Tisa ambayo imetakiwa kuchukua hatua kukabiliana na Ebola.
Hivi karibuni Shirika la Afya Duniani WHO liliripoti kuwepo mlipuko wa EBOLA katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hasa katika jimbo linalopakana na Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni