Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

AJALI MBAYA MAREKANI

Gari lagonga na kujeruhi watu 19 New York


Dereva wa gari hilo amekamatwa na eneo hilo kufungwa kwa mujibu wa idara ya polisi ya mji wa New York.
Gari hilo linaripotiwa kuruka vizuizi kwenye mtaa wa 45 katika eneo maarufu la watalii.

Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.


Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.
Picha zilionyesha gari nyekundu aina ya Honda likiwa limepinduka huku likifuja moshi
Dereva wa gari hilo mwenye umri wa miaka 26 anafanyiwa uchunguzi wa pombe.

  Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.


 Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.
Anaripotiwa kuwa na historia ya kuendesha gari akiwa mlevi.
Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.



Picha zilionyesha gari nyekundu aina ya Honda likiwa limepinduka huku likifuja moshi  
Picha zilionyesha gari nyekundu aina ya Honda likiwa limepinduka huku likifuja moshi
Polisi wanasema kuwa dereva alipoteza mwelekeo na huenda kisa hicho kinaonekana kuwa ajali.
Waliongeza kuwa kisa hicho hakina uhusiano na ugaidi.


Polisi wanasema kuwa dereva alipoteza mwelekeo na huenda kisa hicho kinaonekana kuwa ajali.
Polisi wanasema kuwa dereva alipoteza mwelekeo na huenda kisa hicho kinaonekana kuwa ajali



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni