Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

KODI KUBWA INAUWA VIWANDA "DR MARY MWANJELWA"

Moja kati ya Wabunge waliopata nafasi ya kusimama Bungeni May 17, 2017 na kuchangia Bajeti ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, alikuwa ni Mbunge wa Viti Maalum Mbeya mjini Mary Mwanjelwa ambaye alihoji sababu ya Serikali ya Tanzania kuweka viwango vikubwa vya kodi kwa wawekezaji kitu alichodai husababisha viwanda vingi vya ndani kufa.

Full video nimekuwekea hapa chini tayari….


f
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni