Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

VODACOM WAONGEZA MUDA KWA WANANCHI KUENDELEA KUNUNUA HISA

VODACOM WAONGEZA MDA WA MANUNUZI YA HISA KUWAPA WANANCHI WENGI FURSA !!



Vodacom Tanzania PLC tumeongeza muda wa zoezi la kuuza hisa za awali.

“Kuongezeka kwa muda wa kununua hisa utawawezesha watanzania wengi na taasisi mbalimbali zilizoomba muda uongezwe kushiriki kikamilifu katika mchakato huu mpaka mnamo tarehe 11, Mwezi Mei, 2017.”

“Tunatoa shukrani zetu za dhati kwa watanzania ambao wamekwishajitokeza kuwekeza kwa kununua hisa zetu na tunawakaribisha ambao bado hawajanunua waweze kuchangamkia fursa hii katika kipindi cha muda huu mfupi wa nyongeza.” Alisema Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC,Rosalynn Mworia  #VodacomIPO #WekezanaVoda


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni