Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

NHIF HOI, KAMA MAKAMPUNI MAKUBWA YA UZALISHAJI HAYATAJIUNGA



Hali si shwari katika mfuko wa NHIF , kiasi kwamba baadhi ya vituo vya afya na hospital wanagoma kutoa huduma wakidai , hawajapewa malimbikizo ya madai yao ya huduma wanazotoa kwa wanachama.
Baada ya kutumia kitambulisho changu cha NHIF- wanakupatia dawa za kutuliza maumivu; Vidonda vya tumbo wanakupatia Magnesium na homa wanakupatia Panadol; Nyingine ununue ;

Tutokana na ukata huu , mswada utapelekwa bungeni kwa haraka ili kulazimisha mashirika makubwa ya uzalishaji TPA, TANESCO, TRA, BOT na MIFUKO YA JAMII Kujiunga kwa lazima hata kama hutaki.

Malalamiko yamekuja baadaya ya kufanya utafiti ; BANDARI nasikia wamegoma kujiunga NHIF taarifa si rasmi wakidai wanazo kadi wakilalamikia huduma mbovu na ukosefu wa dawa , nasikia walitakiwa waanze kupata huduma kutoka NHIF toka mwezi February wamegoma kujiunga,

Wakidai serikali inawakata sana kwenye mishahara mfano;

MFANYA KAZI ANAELIPWA 750,000 AYA NDO MAKATO YAKE
P.A.Y.E ----------------------------------------------- 30%

MAPATO 170,000 = ASILIMIA SIFURI (0%)

MAPATO YANAYOZID 170,000- 360,000 = 11%

MAPATO YANAYOZIDI 360,000 - 540,000= 20% + 20,900

MAPATO YANAYOZIDI 540,000 -720,000 = 25% + 56,900

MAPATO YANAYOZIDI 720,000 = 30% + 101,9000


2. Mifuko ya Jamii (NSSF,LPF,GPF).................5-15%

3. TRADE UNION (CWT, TUCTA N.k)................ 2%

4. LOAN BOARD........................................15% Penality

5. BANK LOAN.......................................23%

6. SACCOS SHARE...............................5%

7. NHIF...........................................5 %

Ukijiuliza mfanyakazi ana SAVE kiasi gani?

Ushauri haya mashirika ya uzalishaji wafanyakazi walipiwe na serikali hizi gharama kwa 100% ili kupunguziwa mazigo wanaoubeba .

USHAURI WABUNGE WASIUPITISHE;

INGAWA UTALETWA KWA HATI YA DAHRULA ----------------CHINI YA KIGWANGWALA 


Source: Jamii Forum
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni