Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

BAJETI YAFELI KWA ASILIMIA 66



Kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt. Philip Mpango, kati ya Tsh.11.3 Trilioni zilizopangwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2016 -2017, mpaka sasa zimetolewa Tshs. Trilioni 3.9 tu ambazo ni sawa na asilimia 34 (34%) ya utekelezaji wa bajeti nzima. Hiyo ina maana, bajeti ya Maendeleo ya mwaka fedha uliopita, IMEFELI kwa asilimia 66. 

20170329_041806.jpg

Source : Jamii Forum
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni