Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

KAMPUNI YA MAFUTA TOTAL YAINUNUA GAPCO



 Wanabodi, 

 Image result for total petroleum images

This is breaking news, wewe kama mwana JF, Be the 1St to know kuwa, Kampuni ya Mafuta ya Total imeinunua Kampuni ya Mafuta ya Gapco na kuifanya kuwa ndio Kampuni kubwa kabisa ya Mafuta kwa nchi za Tanzania, Kenya na Uganda.

Japo hii ni habari ya kiuchumi ila linapokuja suala la mafuta, mafuta sio uchumi teu, sio biashara tuu, bali ni siasa, yoyote anayetawala biashara ya mafuta, anatawala uchumi wa nchi. He who pays the piper may call the tunes. Akiamua kushusha bei ya mafuta, inchi itaneemeka.

Ununuzi huu umehusisha kuvinunua vituo vya mafuta zaidi ya 100 vilivyokuwa Gapco sasa vitakuwa Total, na kwa jinsi Total walivyo wa kisasa, Tanzania itageuka kama ulaya.
Taarifa zaidi inafuata
Paskali
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni