Msajili wa Vyama vya Siasa amesema hayo leo wakati akijibu barua iliyowasilishwa ofisini kwake na katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad ikimtaka msajili huyo kuwavua nafasi ya ubunge viongozi hao.
Wazo; Nadhani Maalim Self anamtega jaji Mutungi.
=======
0 maoni :
Chapisha Maoni