Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MHE MBOWE AIBUKA KIDEDEA BAADA YA MAHAKAMA KUU KURUHUSU KILIMO

Mahakama kuu masijala ya Moshi (Moshi Registry), imeruhusu shughuli za kilimo kuendelea kwenye shamba la kampuni ya Kilimanjaro Veggies inayomilikiwa na FREEMAN MBOWE Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, huku kesi ya msingi ikisubiriwa kusikilizwa dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Hai Bw.Gelasius Byakanwa.

Image result for shamba la mbowe images 
Askari wa Wilaya ya Hai wakiharibu miondombinu ya shamba

Katika kesi hiyo ambayo Kilimanjaro Veggies inadia fidia ya Millioni 549 kufuatia shamba lake kuingiliwa na kuharibiwa miundombinu yake na mshitakiwa huyo.
Aidha, Kampuni hii ya Kilimanjaro Veggies inawakilishwa na Wakili Menraid D'souza. Uamuzi huu wa kuruhusu shughuli za kilimo kwenye shamba hilo umetolewa na Jaji Sumari wa Mahakama Kuu Moshi.

Maombi mengine yaliyomo kwenye kesi hiyo ni pamoja na kuondoa zuio lililowekwa na Mkuu wa Wilaya ya Hai la kuzuia shughuli za kilimo kwenye shamba hilo.

Uamuzi huo umetolewa leo tarehe 13. JULY 2017. Kesi hii inafuatiwa baada ya kitendo cha Mkuu wa Wilaya hiyo cha tarehe 12, June 2017 cha kuvamia na kubomoa miundombinu na mazao ya shamba linalomilikiwa na kampuni hiyo lililopo kijiji cha Nshara ambapo ni nyumbani kwa Mhe.Mbowe.

The High Court of Tanzania Moshi Registry has granted an interim order allowing Kili Veggies Limited a Company owned by Hon.Freeman Aikaeli Mbowe to resume it agriculture activites on its farms which was earlier stoped by the orders of Hai District Commissioner Mr.Gelasius Byakanwa. In a rulling divered by Honorable Sumari, Judge of the Moshi Registry High Court following an application filed by the company through the services of Mr Menraid D'souza Advocate in the matter which the District Commissioner is sued in his personal capacity.

Kilimanjaro Veggies is claiming some of Tshs.549 Million against the DC who, according to the claims of the company, the DC had trespassed and destroy the green house infrastructure of the farm owened by the company without any legal or administrative justifications.

Hapo awali Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliamuru Shamba hilo kuharibiwa.

Habari zaidi soma=>Mkuu wa Wilaya ya Hai, aamuru shamba la Freeman Mbowe la Mbogamboga liharibiwe, Mbowe alaani!

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni