Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

RAIS WA BOTSWANA AWAMU YA PILI QUETT KETUMILE JONI MASIRE AFARIKI DUNIA

Kwa masikitiko makubwa tunasikitika kutanga kifo cha aliyekuwa Rais wa pili wa Botswana ndugu Quett Ketumile Joni Masire aliyezaliwa 23 Julai 1925 katika mji wa Kanye, Botswana.
 Mauti imempata jana usiku saa 4 siku chache baada ya kulazwa hospitali.

Rais mstaafu Mhe Masire aliachia ngazi mwaka 1998 na mrithi wake akawa aliyekuwa makamu wake wa Rais Mhe Festus Mogae, na kuwa Rais wa awamu ya 3 nchini Botswana.
#RIPQKJMasire #Condolences kwa ajili ya familia. #TheNationMourns image.jpeg
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni