Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MWENYEKITI WA CCM TAWI NJIA 4, MTUNDA KIBITI AUAWA

Taarifa za hivi punde ni kuwa kuna kiongozi mwingine wa CCM huko Kibiti ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana usiku huu. huo ukanda sasa hali si shwari.

Image result for kibiti tawi la ccm images 
Habari zaidi zitaendelea kuwafikia kadri zinavyopatikana.
UPDATE 1:

Mwenyekiti wa CCM tawi la njia nne, Kata ya Mtunda, amepigwa risasi na kuuawa usiku huu. Mtoto wake amejeruhiwa kwa risasi ya Tumbo.

Hii ni taarifa ya awali kutoka eneo la tukio.


Chanzo: Jamii Forum
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni