Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MSANII DOGO MFAUME HATUNAYE TENA "KAZI YANGU YA DUKANI"

Msanii Dogo mfaume wa kibao cha "Kazi yangu ya Dukani" amefariki dunia




IMG_6694.JPG 
Mfaume Selemani ''Dogo Mfaume'' alikuwa Sober House (alikuwa akipata matibabu ya Matumizi ya Madawa ya Kulevya)
Marehemu alikuwa amepangiwa kufanya Operation ya Kichwa (ambapo alikuwa na Uvimbe) siku ya Ijumaa.

Kulikuwa na mjadala mrefu juu ya Marehemu kuathiriwa vibaya na matumizi ya Dawa za Kulevya hapa JamiiForums, soma - Dogo Mfaume (mzee wa kazi ya dukani) anateketea kwa madawa ya kulevya

Huu ndio wimbo wake maarufu - Kazi ya Dukani
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni