Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

SAKATA LA KUFUKUZWA KWA MKURUGENZI WA UN LATUA BUNGENI

Sakata la kufukuzwa nchini kwa bosi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa(UNDP) Tanzania, Awa Dabo, limetua bungeni
Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akizungumza bungeni leo, aliitaka Serikali kufafanua sababu za kumfukuza nchini Mkurugenzi Mkazi huyo wa UNDP Tanzania kwa kumpa saa 24

Hata hivyo, Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenga aliliiambia Bunge kuwa Serikali ina mamlaka yote katika masuala ya Kidiplomasia na hivyo bunge haliwezi kuhoji sababu za mkurugenzi huyo kufukuzwa. [​IMG]

Chanzo: Mwananchi
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni