Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

NAPE AULIZA MASWALI NA LA NYONGEZA

VIDEO: Maswali mawili ya Nape Nnauye bungeni leo April 24, 2017 mkutano wa saba wa bunge umeendelea ambapo katika kipindi cha maswali na majibu kati ya wabunge waliopata nafasi ya kusimama na kuhoji serikali ni pamoja na mbunge wa Mtama Nape Nnauye aliyehoji hatua za serikali katika kuboresha zao la korosho nchini, majibu yakatolewa na Naibu Waziri wa Kilimo, mifugo na uvuvi William Ole Nasha
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni