Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MAAMUZI YA RAIS DONALD TRUMP YAONYESHA ANAUGUA KICHAA "YALE NA NEW YORK UNIVERSITY DOCTORS"

Kikundi cha madaktari wa ugonjwa wa akili waliokutana katika kikao cha dharura huko Yale University Marekani wamedai kuwa Rais wa Marekani Donald Trump ana matatizo ya kiakili
 (dangerous mental illiness) na hafai kuongoza nchi hiyo.
Image result for donald trump images
RAIS DONALD TRUMP

 Akinukuliwa kwa kusema Dr. John Gartner wa Yale's School of Medicine in New Haven, Connecticut kuwa Donald Trump kuendelea kuwa Rais Marekani ni hatari kubwa kwa usalama wa taifa hilo kubwa duniani.
Rais Donald Trump alidai kuwa mahudhurio ya watu katika siku alipoapishwa kuwa watu waliohudhuria walikuwa ni wengi kushinda wakati Barrack Obama alipoapishwa ambapo madai hayo ni ya uongo. Rais Donald Trump majuzi aliamuru Bomu lenye uzito wa tano 10 litumike huko Afghastan hiyo silaha haijawahi kutumika popote duniani, Rais Donald Trump alitaka kuishambulia North Korea ambapo vita hivyo vingeleta madhara makubwa sana kwani Northe Korea wangeshambulia South Korea na Japan kwa silaha za maangamizi na mamilioni ya watu wangeuawa.
Dr James Gilligan professor kutoka New York University aliambia kikao akiwa kama daktari bingwa wa akili na uzoefu wa kugundua mtu mwenye matatizo ya akili kwa kipindi kifupi Rais Donald Trump yupo madarakani amegundua mapungufu makubwa ya kiakili ya Donald Trump.
source: Presstv.

 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni