Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MHE DKT KIGWANGALA NIMEMKUBALI

Hongera naibu Waziri wa Afya.Hongera kwa kumfuata Mange kwenye page yake na kujibu baadhi ya tuhuma.
Image result for kigwangalla images
MHE DKT KIGWANGWALA

Umeeeleza kwa uzuri na naamaini naye amekuelimisha vya kutosha.Hongera Mange kwa kujizuia kutoa tusi ndani ya majadiliano hayo,kwa kweli tukienda hivi angalau watu wataielewa serikali na serikali itazielewa baadhi ya hoja za wapinzani wake.

========

Hamis kigwangalla leo ameamua kufunguka kwa mwanaharakati Mange Kimambi huko Instagram baada ya mwanadada huyo kupost picha na maombi kibao kutoka kwa wananchi wakimwomba awasaidie kufikisha vilio vyao serikalini.

Majibu hayo yamekuja siku chache baada ya mwanadada Mange kufululiza kupost picha na post mbali mbali zikionyesha hali mbaya ya huduma za afya kwenye baadhi ya hospitali zetu.

Nyingi ya post zinaonyesha jinsi wanawake kwenye baadhi ya hospitali kubwa ( including MUHIMBILI ) wakiwa wamelala chini sakafuni na watoto wao baada ya kutoka kujifungua, na baadhi ya post nyingine ni message anazotumiwa na watu mbalimbali wakilalamika jinsi wanavyopata tabu kupata huduma za afya mahospitalini .

Siwezi kuweka post zote hapa ila unaweza pitia kwenye page yake kujionea mwenyewe Mange Kimambi - Instagram

Naibu Waziri amesema wana changamoto nyingi, kila siku zinapatiwa ufumbuzi, lakini pia suluhu ya changamoto moja huzaa changamoto nyingine. alimalizia kwa kumwomba Mange amtumie hizo kesi ili aweze kuzishungulikia.


hamis.png
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni