Onesmo Ole Ngurumwa
Awali ya hapo, watu hao walianza katika ofisi za LHRC (Legal and Human Rights Centre) ambako walitaka baadhi ya tarifa za Bwana Onesmo kutoka ofisi yake hiyo ya awali.
Sababu za kuhojiwa kwa Bwana Onesmo Olengurumwa hazikuwekwa wazi zaidi ya kusema kuwa wamepewa maagizo toka juu wafanye kazi hiyo na watarudisha taarifa kwa wakuu.
0 maoni :
Chapisha Maoni