Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

KARANI WA BARAZA LA MAWAZIRI HASSAN RASHID SHEBUGE AFARIKI DUNIA

Karani wa Baraza la Mawaziri Hassan Ramadhani Shebuge (mara nyingi husimama pembeni mwa Rais wakati wa viapo), amefariki dunia.

Shebuge.jpg
======

Shebugee.jpg
Pichani, marehemu Hassan Shebuge akishuhudia Prof Jumanne Maghembe akila kiapo cha kuwa waziri wa maliasili na utalii mwaka 2015.

Shebuge 4.JPG
Pichani marehemu Hassan Rashid Shebuge(Kushoto) enzi za uhai wake akiwa katika banda la Utumishi wa Umma wakati wa maonesho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara kama Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma akiwahudumia wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliotembelea banda hilo katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere barabara ya Kilwa.

IMG_1033.JPG
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni