Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

WAONE RAIS WA TFF NA KATIBU MKUU WAKE WAKIWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA RUSHWA

Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Katibu Mkuu Celestine Mwesigwa leo watapelekwa Mahakama ya Kisutu kujibu tuhuma zinazowakabili.
Taarifa zaidi zitakujia kupitia uzi huu...

========
UPFATES:

Viongozi wa juu wa TFF(Malinzi na Mwesigwa) na wale wa Simba SC(Aveva na Kaburu) wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kistu muda huu..


Screenshot from 2017-06-29 11-05-19.png
Huyo Mwanamama aliyejikunyata hapo pichani anaitwa, Nsia kwa pale TFF ni mtendaji wa Idara ya Fedha, wakati wa kuhamishwa kwa fedha alikaimishwa na kuwa mtia saini(Signatory).

Rejea: UFISADI TFF: Malinzi mwogope Mungu, Fedha za TBL dola 425,000 umezichota kutoka akaunti hizi

Rejea: UFISADI TFF: Bil 1.1 zachotwa ndani ya wiki 1, PCCB washikwa na kigugumizi kumpeleka Malinzi Kortini
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni