Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

WAJUE WATEULIWA WA KUGOMBEA EALA WA CHADEMA, CCM KUHARIBU KURA ZAO


TAARIFA KWA UMMA​

UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE EALA​

Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyokutana Zanzibar katika kikao chake cha siku moja, Mei 2, mwaka huu, imewateua wafuatao kuwa wawakilishi wa CHADEMA kugombea Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA);

1. Profesa Abdalla Safari
2. Salum Mwalim
3. Ezekia Wenje
4. Josephine Lemoyan
5. Lawrence Masha
6. Pamela Massay

                                                   

Image result for ezekiel wenje images
Ezekiel Wenje
Image result for lawrence masha images
Lawrance Masha
Image result for professor abdallah safari images
Abdallah Safari

Image result for josephine lemoyan images
Josephine Lemoyan
Image result for salim mwalimu chadema
salum mwalim
   Image result for Pamela Massay images 


Walioteuliwa watakamilisha hatua zingine za uteuzi kwa mujibu wa taratibu na Kanuni za Bunge na Uchaguzi wa Bunge la Afrika Mashariki.

Imetolewa leo Jumatano Mei 3, 2017 na;

Tumaini Makene

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
CHADEMA
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni