Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

PICHA 7: MAN U YAJIBU MAPIGO YA FIFA, " ACHA MANENO WEKA MUZIKI" POGBA " MECHI KWANZA"

Picha 7: Man U yajibu mapigo ya FIFA yasema 'Acha maneno, Weka Muziki.. Pogba wee mechi kwanza!!'

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Licha ya sakata la FIFA na Manchester United juu ya Uhamisho wa kitita cha pauni 89.3 million za usajili wa nyota Paul Pogba, klabu hiyo imesema "ACHA MANENO, WEKA MUSIC" na kwamba Agenda kuu ya Man U kwa sasa ni mechi iliyo mbele yao usiku wa leo.

Pogba akionekana wazi kupotezea suala hilo ametinga jioni hii akiwa na timu yake katika viwanja vya mazoezi vya carrington akipasha akiwa mwenye bashasha na furaha tayari kuivaa timu ya Celta Vigo katika mchezo wao wa pili(second Leg) wa nusu fainali ya ya kombe la Europa !

Katika tangazo la FIFA lililotolewa jana Jumanne, klabu hiyo kubwa ya Jijini London imetakiwa kuweka wazi vigezo vilivyompa Mino Raiola wakala wa Pogba mgao mkubwa wa Pauni 41 million kama sehemu ya pesa ya uhamisho wa Pogba wa pauni 89.3 milion kutoka timu ya Juventus.






Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni