Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MWANASIASA ADAM MALIMA ATINGA MAHAKAMANI KWA KOSA LA KUMZUIA ASKARI KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE

Mwanasiasa Adam Malima afikishwa Mahakama ya Kisutu tayari kwa kusomewa mashtaka, ni baada ya sakata la malumbano na askari jana.
tmp_1432-IMG_20170516_143235-813247330.jpg

Kujua kisa kizima, soma => Masaki: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu
--------

OB/RB/7306/2017 KOSA; KUMZUIA ASKARI KUFANYA KAZI YAKE
MTUH: ADAM KIGOMA MALIMA

Mlalamikaji ni askari H.7818 PC Abdul akiwa kazini na maafisa wa kampuni ya PBEL inayojihusisha na kukamata watu wanaopaki magari hovyo eneo la Double Tree Hotel Masaki alizuiliwa kutekeleza wajibu wake na aliyekuwa waziri wa zamani wa kilimo huku akishirikiana na wanachi kuwazuia askari hao.

Askari huyo aliamua kupiga risasi sita hewani ili kuwatuliza watu waliokuwa wanazomea wakiongozwa na mtuhumiwa. Hata hivyo mtuhumiwa pamoja na dereva wake walikamatwa na kufikishwa kituo cha polisi Oysterbay.

Naibu Waziri wa Fedha wa zamani Adam Malima amefikishwa Mahakamani kwa kosa la kumzuia askari kufanya kazi, ameachiwa kwa dhamana ya Mil 5.
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni