Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

DAH! HIYO NDIYO KONYAGI

Hili goma bana toka limeingia sokoni kwakweli binafsi naliona tofauti kabisa....sijui wenzangu mnasemaje?
La zamani bhana chupa kubwa kuipiga ilikuwa hadi tonic au kalimao kidogo....ila la sasa lile la 750mls nalipiga bila kichanganyio na linaenda smoothly kabisa. au nina pressure ya maisha jamani?


jibapa.jpg
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni