Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

TANZIA, KWA WALIOSOMA MKWAWA 1983 HADI 1987 R.I.P JOHN MARANDU

Ndugu John Marandu (59) alikuwa Mwandishi wa RTD na Baadaye Kuwa Mwandishi wa ITV na Redio one. Na Baadaye ITV ilipoanza Kituo Arusha alikuwa Mkuu wa Kituo mpaka alipopishana Kauli na Mwajiri wake.

John Marandu, Pia alikuwa Diwani wa Katangara Wilayani Rombo kupitia CCM, Marehemu alikutwa amefariki katika Nyumba ya kulala Wageni huko Magu Mkoani Mwanza. Ameacha Mke na Watoto wawili.

RIP John Marandu


tmp_30780-1506972_564389396969937_1540817862_n1778288882.jpg
 R.I.P JOHN MARANDU
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni