Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

NAHODHA JOHN TERRY ANAONDOKA CHELSEA AKIWA AMEVAA JEZI MARA 713 TANGU 1998


John Terry kuondoka Chelsea mwisho wa msimu,

Nahodha wa klabu ya Chelsea John Terry akiwa na mpenziwe
Nahodha wa klabu ya Chelsea John Terry akiwa na mpenziwe

Nahodha John Terry pamoja na klabu ya Chelsea kwa pamoja wametangaza kuwa mchezaji huyo ataondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu.

Kila mtu katika uwanja wa Stamford Bridge angetaka kuonyesha shukran kwa John na kumuombea heri katika siku za usoni.
''John ametufanyia kazi kubwa na ya kujitolea ''.
Katika muda wote ameonyesha uzalendo wake akivalia jezi ya Chelsea kitu ambacho amekifanya mara 713 tangu aingie Chelsea 1998, akifunga magoli 66.
Ni mchezaji wa tatu kwa kushiriki mechi nyingi za klabu hiyo na amekuwa nahodha wa klabu hiyo kwa rekodi ya mara 578.
Msimu huu hajashirikishwa sana licha ya kuwa na ushawishi mkubwa miongoni mwa wachezaji wengi wa klabu hiyo ambayo chini ya uongozi wa Antonio Conte bado inaongoza jedwali la ligi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni