Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MAJENGO YA BUNGE YACHOMWA MOTO


Waandamanaji walichoma moto bunge nchi

Waandamanaji walichoma moto bunge nchini Paraguay
Waandamanaji huko Paraguay , wamevamia majengo ya bunge la nchi hiyo na kuliwasha moto.
Wanapinga hatua ya bunge la senate la nchi hiyo kukutana kwa faragha na kupitisha mswada wa kufanyia marekebisho kipengee cha katiba ya nchi hiyo,kitakachomruhusu Rais Horacio Cartes kuwania muhula wa pili madarakani.
Waandamanaji walichoma moto bunge nchini Paraguay                            Waandamanaji walichoma moto bunge nchini Paraguay    
Waandamanaji hao wanasema mabadiliko hayo yanaharibu misingi na taasisi za kidemocrasia nchini Paraguay .
Hata hivyo Mswada huo huenda ukafanikiwa, kwani sasa unapelekwa katika bunge la daraja la pili ambako Rais Cartes ana idadi kubwa ya wabunge kutoka chama chake. 

Wapinzani Gabon wachoma moto  Bunge                                                                                                                                                                                                                                                                                                              Watu kadhaa wamejeruhiwa pale Police walipofyatua risasi za mipira na michirizi ya maji ya kasi kujaribu kuwatawanya waandamanaji ili kuzima ghasia hizo,

Waandamanaji walichoma moto bunge nchini Paraguay                               Waandamanaji walichoma moto bunge nchini Paraguay                                                               
Waandamanaji hao wanasema mabadiliko hayo yanaharibu misingi na taasisi za kidemocrasia nchini Paraguay .
Hata hivyo Mswada huo huenda ukafanikiwa, kwani sasa unapelekwa katika bunge la daraja la pili ambako Rais Cartes ana idadi kubwa ya wabunge kutoka chama chake. 

Source: swahili BBC London




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni