Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MAHAKAMA YA KATIBA AFRIKA KUSINI YARUHUSU BIASHARA YA PEMBE ZA FARU

Biashara ya pembe za Faru ruksa Afrika kusini,

ndovu
KIFARU
Mahakama ya katiba ya Afrika kusini imelipinga jaribio la serikali la kutaka kuweka katazo katika biashara ya pembe za faru katika matumizi ya ndani.
Matokeo yake ni kwamba pembe hizo za faru zinaweza kuuzwa ndani ya nchi huku katazo katika biashara hiyo kimataifa likiwa bado linaendelea.
Watunzaji wa wanyama pori hao wamedai kuwa, kuruhusu biashara hiyo kuendelea kufanyika kihalali kutaweza kupunguza idadi ya faru wanaouwawa kutokana na kwamba pembe za faru zinaweza kukatwa na kuacha wanyama hao hai.
Hata hivyo wahifadhi wa wanyama pori hawakubaliani na hatua hiyo.

 

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni