Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

KAMANDA SIRRO: "TUNAWASHIKILIA WATU WATATU KWA KOSA LA KUVAMIA MKUTANO WA MWENYEKITI WA CUF KINONDONI "




Na. Mwandishi wetu - Matukio
Kamishina wa kanda maalumu ya Dar Es Salaam Simon Siro amesema mapaka sasa watu watatu wanashikiliwa kuhusiana na tukio la kuvamiwa kwa mkutano wa Mwenyekiti wa chama cha wananchi (CUF) wilaya ya kinondoni siku ya Jumamosi  ya wiki iliyopita.
Akizungumza na waandishi wa habari leo (Jumatatu) Siro amesema shauri la kesi hiyo limekwishafunguliwa na upelelezi unaendelea ili kuwabaini waliohusika huku akitoa rai kwa baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotoa vitisho kuwa watawafuata watu flani ili kuwashughulikia.
“Hakuna mtu au kikundi cha watu wanaweza kuwa na mamlaka ya kuwashambulia wenzake mtu kama ana malalamiko yake anapaswa kuyapeleka mahakamani na kama ni ya jinai ayapeleke polisi lakini sio kuwavamia watu kama vile wewe upo juu ya sheria,”alisema Siro.



Na. Mwandishi wetu - Matukio
Kamishina wa kanda maalumu ya Dar Es Salaam Simon Siro amesema mapaka sasa watu watatu wanashikiliwa kuhusiana na tukio la kuvamiwa kwa mkutano wa Mwenyekiti wa chama cha wananchi (CUF) wilaya ya kinondoni siku ya Jumamosi  ya wiki iliyopita.
Akizungumza na waandishi wa habari leo (Jumatatu) Siro amesema shauri la kesi hiyo limekwishafunguliwa na upelelezi unaendelea ili kuwabaini waliohusika huku akitoa rai kwa baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotoa vitisho kuwa watawafuata watu flani ili kuwashughulikia.
“Hakuna mtu au kikundi cha watu wanaweza kuwa na mamlaka ya kuwashambulia wenzake mtu kama ana malalamiko yake anapaswa kuyapeleka mahakamani na kama ni ya jinai ayapeleke polisi lakini sio kuwavamia watu kama vile wewe upo juu ya sheria,”alisema Siro.



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni