Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

JAJI ATOA AGIZO KESI YA UAMSHO IPELEKWE ZANZIBAR

Jaji Fatma Hamid Mahmoud atoa agizo la Masheikh wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Uamsho) kurejeshwa kwenye Mahakama za Zanzibar.


Jaji Fatma amehoji ni nani karuhusu Masheikh kupelekwa kwenye Mahakama za Tanzania Bara bila ya Mahakama yake kujulishwa katika ile kesi inayowakabili ambayo ipo chini yake?

Kesi hiyo imehairishwa hadi 11/5/07.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni