Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

DR GETRUDE LWAKATARE ACHUKUWA NAFASI YA SOFIA SIMBA YA VITI MAALUM






IMG_20170414_211034.jpg
                                MCHUNGAJI, DR GETRUDE LWAKATARE
Ule msemo wa kuwa bahati haiji mara mbili leo umefutiliwa mbali baada ya Dr. Getrude Lwakatare kuteuliwa kwa mara ya pili kuwa mbunge wa viti maalum kujaza nafasi ya mama Sofia Simba aliyevuliwa uanachama wa CCM na hivyo nafasi kuwa wazi.

Hayo yamesemwa na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi ndg. Kailima.

Ikumbukwe kuwa kwa mara ya kwanza Lwakatare alipata bahati kama hiyo ktk serikali ya awamu ya nne.



IMG_20170414_211028.jpg 


Source: Jamii Forum
 



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni