Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

ABOOD BUS YAPATA AJALI ARUSHA / MOROGORO ENEO LA TENGERU LEO


Abiria zaidi ya 50 waliokuwa wakitokea jijini Arusha kuelekea Morogoro wamenusurika kufa na baadhi yao kujeruhiwa akiwemo Dereva, baada ya basi la Abood waliokuwa wakisafiria kuligonga gari jingine kwa nyuma katika eneo la Sang'isi , Tengeru mapema asubuhi leo, Polisi wapo eneo la tukio.


Angalia Picha za basi hilo
[​IMG][​IMG][​IMG]
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni