Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

SAMSUNG MPYA GALAXY S8 YAZINDULIWA

Samsung yazindua simu mpya ya Galaxy S8 iliyoboreka zaidi

Galaxy S8+
The Galaxy S8+ has a longer screen than last year's S7 Edge but is a smaller handset

Simu mpya za zinazotajwa kuwa zilizoboreka zaidi zinazinduliwa na kampuni ya Samsung.
Skrini za simu za Galaxy S8 na ya ile iliyo kubwa kidigo ya Galaxy S8+, ni kubwa licha ya siku zenyewe kuwa ndogo kuliko zile za mwaka uliopita za S7 na S7 Edge.
Wakati huu simu hizo zote zina skrini zilizojipinda hadi pembeni mwa simu.
Uzinduzi huo unafuatia kufeli kwa simu aina ya Note 7 ambayo ilirushwa mara mbii kufuaiua visa vya kuwaka moto.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni