Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

PASIPOTI ZA TZ BARA ZAPIGWA MARUFUKU ZINZIBAR HEROES


Machi 16, 2017 Zanzibar imeingizwa rasmi kuwa mwanachama wa 55 wa Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘CAF’ kufuatia Kikao cha 39 cha Mkutano Mkuu wa Shirikisho hilo kilichofanyika Addis Ababa nchini Ethiopia baada ya kukubaliwa kwa kura 51 kati ya 54 zilizopigwa na nchi wanachama wa CAF.

Kwa mujibu wa Afisa habari wa ZFA Ali Bakar ‘Cheupe’ amesema kuwa wachezaji watakaoitumikia timu ya Taifa ya Zanzibar ni kwa wale ambao Pasipoti zao zimetengenezwa visiwani Zanzibar.

Kwa maana hiyo, wachezaji wote wa Zanzibar ambao Pasipoti zao zimetengenezwa Tanzania bara hawatakuwa na sifa ya kuitumikia Zanzibar Heroes.
 
Source: Jamii Forum
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni