Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MIKEBE YA COCACOLA YAGUNDULIWA KUWA NA KINYESI CHA BINADAMU

 Mikebe ya Coca Cola yagunduliwa kuwa nakinyesi cha binadamu

Coca Cola
                                                                         Coca Cola

 

Polisi wameanzisha uchunguzi wa kile kilichoonekana kuwa kinyesi cha binadamnu, kupatikana kwenye mikebe ya kujazwa soda iliyowasilishwa kwa kiwanda cha Coca Cola huko Ireland kaskazini.
Shughuli za usiku katika kiwanda cha Lisburn zilivurugwa wiki iliyopita wakati mashinde zilikwama.
Coca-Cola ina kiwanda kikubwa huko Lisburn
                                         Coca-Cola ina kiwanda kikubwa huko Lisburn

Kampuni hiyo ilisema kuwa kisa hicho hakikuathiri vinywaji vyovyote ambavyo kwa sasa viko sokoni.
Polisi wanachunguza ripoti kuwa mikebe mingi huenda ilichafuka.
Kiwanda cha Coca Cola cha Knockmore, Lisburn
                      Kiwanda cha Coca Cola cha Knockmore, Lisburn
 
Msemaji wa Coca-Cola amesema kuwa kampuni hiyo ilikuwa ikifahamu kisa hicho cha mikebe mitupu katika kiwanda cha Knockmore.
"Tatizo hilo lilitambuliwa mara moja na bidhaa zote zilizoathirika kuzuiwa na haziwezi kuuzwa. Hiki ni kisa kilicho kando na hakiathiri biddaa zozote zilizo sokoni."msemaji wa Coca Coa alisema.


 

 

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni