Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

DR GWAJIMA KESHO KUJILIPUA KANISANI



Wakuu meza yangu imepokea taarifa kuwa kesho ndio


Baada ya jumapili iliyopita kuweka wazi cheti cha matokeo ya Makonda na hujuma zake za kumtumia dada kupotosha umma,Dr.Gwajima pamoja na mahubiri,kesho ataendelea kuwafunulia watanzania uozo wa Bashite juu ya ujanja ujanja alioufanya kahusu elimu yake. Kesho ataweka wazi cheti cha Paul Christian mwenyewe ambacho ni cheti alichokitumia Makonda kupatia elimu ya chuo

Askofu Gwajima atakuwa live online kupitia You Tube.

Swali ninalojiuliza ni kwamba pamoja na ONYO alilotoa Gwajima kwamba yeyote atakayemkingia kifua Bashite atampiga,lakini bado "mhimili uliojichimbia chini zaidi" unamkingia kifua

Source: Jamii Forum



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni