Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

BREAKING NEWS: AJALI MBAYA YATOKEA MKOANI KILIMANJARO MAILI SITA

Wakuu kumetokea ajali mbaya katika eneo la Maili sita,Mkoani Kilimanjaro Asubuhi na watu kadhaa wamefarika nakujeruhiwa ikihusisha Basi la Freys.


Basi la Frey's limepata ajali Kibosho Road Moshi. Wenye ndugu jamaa na marafiki ambao walikuwa wanasafiri na basi hilo muwajulie hali. Basi lililokuwa likisafirisha abiria kutoka Arusha kwenda Tanga.

Madereva tuwe MAKINI barabarani.

17352278_1549542941725639_6653176849963340605_n.jpg 17458066_1549542871725646_7850248660359867254_n.jpg 17498445_1549542725058994_6075620196039781018_n.jpg 17309390_1549542721725661_8938494791789558764_n.jpg 17426035_1549542701725663_158367553294789767_n.jpg 17361584_1549542705058996_778799209126751684_n.jpg
17342848_10208976293109030_4028657602152677199_n.jpg
Hapa wamefuta jina la basi ili lisipigwe picha. Hii tabia nashauri Polisi waikomeshe kwa sababu imekuwa ni kawaida kwa wenye magari kufuta nembo zao baada ya kupata ajali
 
Source: Jamii Forum
















































LK
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni