Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MHE. HALIMA MDEE AACHIWA KWA DHAMANA HADI AUGUST 7 2017

Joined:Oct 17, 2010
Messages:14,262
Likes Received:4,534
Trophy Points:280
19905046_727918110748335_1860843072704581655_n.jpg
Halima Mdee aliyekaa akisalimiana na Esther Bulaya
Mbunge wa Kawe Halima Mdee, hatimaye amefikishwa Mahakamani Kisutu Dar es Salaam.

Bado sijajua atashitakiwa kwa makosa yapi kwani ndo yupo Kisutu.

Hapo awali Mdee aliwekwa Korokoroni Oysterbay Polisi kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi. Hata baada ya Masaa 48 kuisha, hakuachiliwa huru kwani aliendelea kushikiliwa.

Halima Mdee(Mb, CHADEMA) akamatwa na Polisi. Apelekwa Oysterbay...
Stay tuned..

UPDATES:
"Mdee alitoa lugha ya matusi na maudhi kwa kiongozi wa nchi, tulimuhoji na baada ya mahojiano tumemfikisha Mahakamani."- Kamanda Mkondya

"Mhe. Halima mdee tulimkamata maeneo ya Ubungo kwa sababu alikua na kikao na waandishi wa habari akipinga maamuzi ya Rais"- Kamanda Mkondya
---------------

UPDATE: 10, JULAI, 2017
Mbunge Halima Mdee ameachiwa kwa dhamana ya Milioni 10 na wadhamini wawili. Ushahidi haujakamilika na kesi imeahirishwa hadi August 7, 2017.
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni