Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MSIBA MKUBWA: KINACHOENDELEA SASA HIVI ARUSHA KATIKA KUIAGA MIILI 35 YA AJALI MBAYA

Tayari Jeshi la Wananchi na Polisi wapo uwanjani wakifanya taratibu za hapa na pale kwa ajili kupokea miili.
Viongozi wa dini zote watakazoendesha ibada tayari wamewasili, Wazazi wa wafiwa pamoja Na idadi ya wananchi wanaingia uwanjani Ni kubwa kweli kweli.

Sahivi Ni wananchi wanaingia uwanjani pamoja Na askari WA kutuliza ghasia, tunasubiri miili Na viongozi WA kitaifa wingie ndo ratiba nyingine ziingie.

Mkuu WA Mkoa Na mkuu WA wilaya ndo wanaingia uwanjani kwa sasa, pamoja Na mkurugenzi WA jiji la Arusha

WP_20170508_006.jpg WP_20170508_001.jpg
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni