Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

UPASUAJI WA KUPANDIKIZAJI KICHWA KUFANYIKA DECEMBER 2017 KUWA HISTORIA DUNIANI

December 2017 inatarajiwa kuwa siku ya kihistoria kwenye sekta ya afya na tiba duniani ambapo utafanyika upasuaji wa kupandikiza kichwa kwa mara ya kwanza utakaofanyika mjini London ikihusisha madaktari 150 na itachukua zaidi ya saa 34.
Image result for dr sergio canavero 2017 images
DR SERGIO CANAVERO MPANDIKIZAJI VICHWA

Kwa mujibu wa Daktari atakayeongoza upasuaji huo Dr. Sergio Canavero, upasuaji huo utafanyika kwa mara ya kwanza kwa binadamu ambapo kichwa cha binadamu aliye hai kitapandikizwa kwenye mwili wa mtu aliyekufa na binadamu huyo kuweza kupata mwili mpya.

Madhumuni ya upasuaji huu ni kusaidia watu waliopata magonjwa ya kupooza viungo, watu wenye vilema vya miguu na magonjwa ya uti wa mgongo kupata matumaini mapya ya kuwekewa mwili mwingine. Upasuaji huu unatajwa kugharimu zaidi ya Dollar millioni 30.

Upasuaji utafanywa kwa mara ya kwanza kwa mgonjwa Valery Spiridonov kutoka
Urusi ambaye kitaondolewa kichwa chake na kupandikizwa kwenye mwili wa mtu aliyekufa. Valery Spiridonov amejitolea kufanyiwa upasuaji huou kwa sababu ana tatizo la uti wa mgongo liliopelekea mwili wake kupata ugonjwa wa kiharusi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni