Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

MACHINGA COMPLEX YACHOMWA MOTO NA MACHINGAS

Zoezi la ubomoaji vibanda vyote vya biashara katika jengo la Machinga Complex Ilala , Dar es salaam, limewaacha wengi kwenye majonzi.
Wafanyabiashara hao kwa masikitiko zaidi wanasema kubomolewa vibanda vyao vya biashara na uharibifu wa Mali zao ni uonevu na wao hawana la kufanya.
Kuna taarifa zingine zinasema wafanyabiashara hao walitafadhalishwa na uongozi tokea awali kwamba wabomoe vibanda vyao na wahamie ndani ya Jengo hilo la Dar es salaam Business Park, au Machinga Complex.
Wafanyabiashara wamewasha moto katikati ya barabara eneo la Machinga Complex jijini Dar baada ya kukuta vibanda vyao vimevunjwa.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni