Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

UHAKIKA WA BUNGE LA BAJETI KUWAKA MOTO HUU HAPA


Kufuatia kikao cha Halmashauri kuu ya Chadema, maazimio na matamko yametolewa,




[​IMG]


Mnyika: Mwenyekiti, Freeman Mbowe, alifanya kikao cha Halimashauri Kuu maalum juzi na jana. Bahati mbaya Leo kaenda Tanga.

Mkutano ulikuwa na agenda mbili, kwanza kuhusu wagombea ubunge wa Bunge la Afrika mashariki kupitia CHADEMA.

Agenda ya pili ya Mkutano ni kuhusu yanayoendelea katika taifa letu likiwemo la uvamizi Clouds na kutenguliwa kwa Nnape

J. Mnyika: Uvamizi wa Clouds Media na Kutenguliwa kwa Nnauye Nape ni matumizi mabaya ya Rais na Jeshi la Polisi.

J. mnyika: Kama Chama, tunamtaka Rais Magufuli ahakikishe anamchukulia Makonda hatua kwa sababu ya vyeti feki na kuvamia Clouds Media.

J. mnyika: Chadema tunamtaka Rais Magufuli atoe sababu halisi za kumtengua uwaziri Mh. Nnape


Source: Jamii Forum

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni