Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

TETESI ZA WAANDISHI KUTOKWENDA KATIKA KUHAPISHWA MAWAZIRI WATEULE

Kuna tetesi kwamba waandishi kutoandika taarifa za kuapishwa kesho,



Kila mwandishi nadhani amesikia leo kuwa Nape ameenguliwa kwa ajili ya kutetea maslahi ya tasnia yenu ambako kumempelekea mbunge wa Mtama ndugu muheshiwa Nape kupoteza uwaziri wake mbichi kabisa.

Mmeshuhudia namna Clouds ilivyovamiwa na kiongozi wa mkoa wa Dar ndugu ******* ambaye leo ndio angekuwa hatakiwi kuwepo ofisini, lakini kwa kwa hali ya kushangaza mtu alodili akiwa kiongozi wa serikali kukemea na kuunda tume kitu ambacho toka enzi za maswahibu ya kina Kibanda, Mwangosi hatujawahi ona waziri mwenye dhamana ya habari akidili kufanya ambacho hiki Nape amejaribu kukifanya kwa ajili ya Uhuru wa wanahabari,

Leo mtakuwa watu wa ajabu kumwacha Nape mwenyewe na nyie kwenda kuripoti tukio zima la upishwaji wa mtu ambaye anarithi nafasi ya mtetezi wenu.
Cha msingi kesho Machi 24 muda huo kila chombo cha habari kiwe bize na utafutaji wa habari zingine kwani uapishwaji huo unatokana na KUPUUZWA KWA MALALAMIKO YENU.

Wadau wa habari tunaichukulia kesho kama mtaweza kuitumia siku hiyo kwa kutoletea tukio hilo labda litaweza saidia kilio chenu kusikika huenda pia MKAMFARIJI Nape kwa uhamuzi wenu huu.


Source: Jamii Forum
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni