Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

NAPE ALIJIUZULU KABLA

Habari wadau!


Ukisoma barua ya Ikulu inajieleza wazi kuwa rais hajatengua uteuzi bali inaonyesha rais kafanya mabadiliko kwa nafasi iliyokuwa wazi.

Hivyo nimeamini Nape alisimamia kauli zake kuwa atajiuzulu iwapo mambo yataenda nje ya ushauri wa kamati.

Hivyo nchi hii inaongozwa na mkuu wa mkoa wa dar sio kama tunavyodhani

Source: blessnewstz.blogspot.com
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni