Zilizopendwa Zaidi

Wapendwa
Breaking
Inapakia...

BREAKING NEWS!! MCHUNGAJI GWAJIMA KUTEMBELEA CLOUDS KESHO!!




Askofu Mkuu wa makanisa ya Ufufuo na Uzima, Dr. Josephat Gwajima kwenye akaunti yake ya Instagram ameandika taarifa ya kufanya ziara kwenda kutembelea ofisi za Clouds Media Group kwa lengo la kuwapa pole juu ya tukio la wikiendi iliyopita la RC Makonda kuingia Clouds TV akiwa askari wenye silaha za moto.
Tukio hilo limeripotiwa kwa kile kilichoelezwa kuwa RC Makonda alitaka watangazaji wa kipindi cha Shilawadu warushe kipindi ambacho hakijamalizika kwenye maandalizi yake.

Source: Millard Ayo 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 maoni :

Chapisha Maoni