Miongoni mwa nyaraka hizo hi hii ya Uchaguzi wa UVCCM ngazi ya Taifa aliyetoa tangazo hilo ni mrembwende huyo kwa niaba ya katibu mkuu wa UVCCM
Hali hii imewasikitisha sana vijana wazoefu ndani ya UVCCM kwanini binti huyo akabidhiwe mikoba muhimu wakati hajakipigania chama katika ngazi yoyote ili hali wao walikesha ktk mitandao ya jamii kujitahidi kukitetea chama wakati kikipitia wakati mgumu hasa wakati wa uchaguzi mkuu wa 2015.
![[IMG]](https://2.bp.blogspot.com/-TJIKt9o-tYI/WVZ0lmVyt-I/AAAAAAAAB7k/k2Xjt6VTR9QGCIyTG9UfKFDynVxsriuqgCLcBGAs/s640/Scan.jpg)
![[IMG]](https://2.bp.blogspot.com/-t50_IusIk-g/WVZ0lqS97aI/AAAAAAAAB7g/szrXYknTSQ01Vj-qK1Zy_gUiqAPMBliogCEwYBhgL/s640/Scan2.jpg)
0 maoni :
Chapisha Maoni