Home
/
Uncategories
/
MWONE KACHERO ALIYEPANGA MAUAJI YA PRINCE DIANA HOFU YA PRINCE WILLIAM KUWA NA NDUGU WA TUMBO MOJA MWENYE ASILI YA KIARABU LAKINI MUISLAMU
MWONE KACHERO ALIYEPANGA MAUAJI YA PRINCE DIANA HOFU YA PRINCE WILLIAM KUWA NA NDUGU WA TUMBO MOJA MWENYE ASILI YA KIARABU LAKINI MUISLAMU
Kachero mstaafu wa shirika la ujasusi la Uingereza M15 Mr John Hopkins
ambaye yupo hospital akiwa amebakiza muda mchache wa kuishi kwa maradhi
yanayomkabili amesema yeye ni miongoni mwa maofisa wa M15 waliopanga
mauaji ya Princess Diana na mchumba wake Dodi Fayed mwaka 1996,
Amesema ukoo wa kifalme wa Uingereza walipata taarifa kuwa Princess
Diana alikuwa na mipango ya kuchukua talaka kutoka kwa mume wake mwana
mfalme Prince Charles, inasemekana kama mpango huo ungefanikiwa ingekuwa
ni hatari kwa Mfalme mtarajiwa Prince Wiliam kuwa na ndugu tumbo moja
kutoka kwenye familia ya kiarabu na kiislam, pili familia ya kifalme ya
Uingereza ulikuwa na wasiwasi kuwa Princess Diana angetoa siri nyingi
alizokuwa akijua kuhusu ukoo huo wa kifalme. Mauaji hayo yalitekelezwa
kwa kutumia ajali, majasusi wa M15 wakijifanya mapaparazi ndio
walitekeleza mauaji hayo. Alipoulizwa kachero huyo mgonjwa kwanini
hakulataa kutekeleza mauaji hayo alidai alikula kiapo cha utiifu kwa
familia ya kifalme na ilikiwa ni wajibu wake kutekeleza mauaji hayo.
Baada ya Princess Diana kutengana na mume wake Prince Charles aliingia
kwenye uhusiano wa kimapenzi na Dodi Fayed mtoto wa Bilionea Fayed
aliyekuwa akiishi Uingereza. Katika ajali hiyo Princes Diana, Dodi Fayed
na Dreva wake walifariki dunia jijini Paris Ufaransa
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 maoni :
Chapisha Maoni