Kwanza sijajua hili kundi lipo au limekufa na kama limekufa ni sababu gani zimeliuwa kundi hili lililojizolea umaarufu mkubwa nchini tanzania
Kingine ni maisha ya wale comedian wengine wako wapi? Ukiacha Masanja ambae hivi sasa ni mchungaji na maisha yake ni ya hali ya juu.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 maoni :
Chapisha Maoni