Viongozi wa dini zote watakazoendesha ibada tayari wamewasili, Wazazi wa wafiwa pamoja Na idadi ya wananchi wanaingia uwanjani Ni kubwa kweli kweli.
Sahivi Ni wananchi wanaingia uwanjani pamoja Na askari WA kutuliza ghasia, tunasubiri miili Na viongozi WA kitaifa wingie ndo ratiba nyingine ziingie.
Mkuu WA Mkoa Na mkuu WA wilaya ndo wanaingia uwanjani kwa sasa, pamoja Na mkurugenzi WA jiji la Arusha
0 maoni :
Chapisha Maoni